RAISI mteule wa Kenya Uhuru Kenyata Aruhusu maandamano ya amani
on
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
NAIROBI, KENYA: Rais Mteule, Uhuru Kenyatta ameruhusu maandamano ya amani ya kupinga ushindi wake alioupata katika Uchaguzi Mkuu wa Agosti 8. - Kenyatta amewataka polisi kujizuia kutumia nguvu kubwa na badala yake wawape ulinzi wakati wa maandamano hayo.
Comments
Post a Comment