MBEYA: Soko La Sido lateketea kwa moto on August 16, 2017 Get link Facebook Twitter Pinterest Email Other Apps Maduka na vibanda ndani ya soko la SIDO vyateketea kwa moto usiku wa kuamka leo. Hasara na chanzo cha ajali havijajulikana. - Wananchi wametupa lawama zao kwa Jeshi la Polisi kwa kutowaruhusu kusogea eneo la tukio kuokoa mali zao. Comments
Comments
Post a Comment